RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 3 & 4

Umri....18+
Mtunzi:Eddazaria G.Msulwa


 ILIPOISHIA
Nilizungumza kwa kujishtukia huku karoti yake ya bandia nikiificha kwa nyuma ili asiione.Madam Mery akanitazama  kwa macho yanayo ashiria kitu ila sijui ni kiti gani na taratibu akaanza kupita mbele yangu na kwenda alipo tundika taulo lake na kuanza kujifuta maji huku akiwa amenipa mgongo huku mguu wake mmoja akiuweka juu ya meza kisha akainama kidogo ili kuvifikia vidole vya mguu huo alio uweka katika meza na khanga aliyoivaa kwa jinsi ilivyonaatana na mwili wake imeingia kidogo katikati ya mstari wa makalio yake na kuyafanya yagawanyike kama vilima viwili vy Kibo na Mawezi tunavyoviona katika mlima Kilimanjaro

ENDELEA
Madama akaendelea na kazi yake ya kujifuta maji pasipo kunijibu chochote.Nikapiga hatua za taratibu huku nikinyata kuelekea mlango wa kutokea ndani ya chumba hicho kabla sijaufungua Madam Mery akaniita
 
“Eddy unakwenda wapi?”
Swali la Madam likanifanya nikae kimya wala sikujua nijibu kitu gani kwani ninapokwenda ninapajua ni sebleni ila jinsi ya kuzungumza nikajikuta mdomo mzima unakuwa mzito kama ninakunywa uji wa dengu.

Madam akageuka na kunitazama jinsi ninavyo babaika mlangoni nilipo simama
“Umeficha nini huko nyuma kwako?”
“Eheeee!”
“Nikitu gani ulicho kificha huko nyuma kwako?”
 
Nikakaa kimya huku nafsi yangu ikinishawishi niitoe karoti ya bandia niliyoikuta chini ya uvungu nikitafuta panya kuepuka kujiongezea matatizo kwani hapo nilipo ninatatizo la kusimamishwa masomo kwa wikimoja.Nikaitoa karoti yake ya bandia na kumuonyesha Madam nikadhani atakasirika ila nikashangaa akitabasamu na kutoa kicheko kidogo
 
“Iweke tu hapo kwenye kitanda”
Nikaiweka kitandani huku akiwa ananitazama kwa umakini.Nikafungua mlango na kutoka na kwenda sebleni kukaa huku nikiyasikilizia mapigo yangu ya moyo jinsi yanavyo kwenda kwa kasi japo kuna baridi kali ila jasho usoni lina nitiririka.

Baada ya muda kadhaa Madam Mery akatoka chumbani kwake huku akiwa amevalia nguo nyingine zilizo mpendezesha na kuzifanya umbo lake kuonekena viziri huku nywele zake ndefu akiwa amezibana kwa nyuma

“Sasa mwanangu mimi ninaondoka tutaonana mchana.Kama utahitaji kunywa chai utachukua mkate kwenye  friji pia kuna soseji kama wewe ni mlaji unaweza kuzila”
 
“Sawa Madam je chai ipo wapi?”
“Chai sijapika.Njoo nikuonyeshe jikoni”
Nikanyanyuka na Madam akaende kunionyesha jiko lililopo humo humo ndani ya nyumba yake ambayo kila kitu muhimu kinachohitajika katika nyumba kipo ndani na imezungushiwa ukuta mrefu.
“Si unaweza kutumia jiko la gesi?”
“Ndio”
“Basi ukiwa na njaa chai utakuja kuipikia hukuu.Eheee kuna jengine?”
“Mmmmm hakuna”
“Sasa mbona hujaniuliza visufuria vipo wapi au utapikia mikono yako?”
 
Madam alizungumza huku akinipiga kibao kidogo cha shavuni huku akitabasamu na kunifanya nibaki ninashangaa.Nikazidi kushangaa zaidi pale Madam Mery alipo nipiga busu la mdomoni na kutoka ndani ya chumba hicho cha jiko huku akitingisha makalio yake na kuelekea zake shule hata visufuria akasahau kunionyesha ameviweka wapi.

Nikarudi sebleni nikachungulia dirishani kama Madam Mery tayari ameshatoka getini.Nikamuona ndio analibana vizuri geti la kuingilia katika nyumba hii.Nikaiwasha TV(Luninga) ambayo mwanzoni nilikuwa nimeizima kutokana na filamu ya ngono iliyokuwa ndani ya redio.Nikapunguza sauti ya redio hadi ikafika moja na nikatafuta mkao mzuri wa kukaa katika sofa huku nikainza kuitazama filamu ya ngono.Kadri muda ulivyozidi kwenda ndivyo filamu ikazidi kuninogea.
 
Hisia kali zikaanza kunitawala huku nikitamani nipate mwanamke kwa wakati huo ili aitulize karoti yangu ambayo imesimama hadi nikahisi misuli yake inaweza ikakatika au kupasuka kwa maumivu makali niliyo nayo.

Nikanyanyuka na kwenda katika chumba cha Madam nikaanza kutazama ni kopo gani la mafuta linaweza kuwa na mafuta mazuri.Kwa bahati nzuri nikaliona kopo la mafuta ya Baby Care likiwa wazi na mafuta yake yakiwa yamejaa kiasi.Nikachukua kidogo kwenye mkono na kuvua suruali yangu na kukaa katika meza ambayo Madam alikuwa ameiwekea mguu akijifuta maji mwilin mwake.
 
Hisia za wacheza filamu ya ngono niliyokuwa nikiitazama ikaaza kutembea kama mkanda wa video katika akili yangu huku taratibu nikianza kuipaka karoti yangu mafuta taratibu na kuanza kuichua huku picha nyingine ya Madam Mery alivyokuwa ameinama katika meza niliyo ikalia ikanijia kichwani huku nikijikuta ninavutuia hisia ya makalio yake yaliyo makubwa.

Nikazidisha kasi ya kuichua karoti yangu na taratibu nikayafumba macho yangu huku nikisikilizia utamu ninao upata kuanzia katika unyayo hadi kichwani huku miguno ya raha ikinitoka.Nikazidisha kasi zaidi pale nilipolikumbuka busu la Madam Mery alilo nibusu jikoni wakati alipokuwa anatoka kuelekea  kazini.Nikajikuta nikitukana matusi yasiyo na idadi maalumu.Karoti yangu ikatoa risasi zilizo ruka sehemu mbali mbali ndani ya chumba cha Madam.
 
Nikafumbua macho taratibu huku nikihema kama nimetoka kukimbia mbio za Marathoni.Moyo wangu ukanipasuka kama umepigwa bomu la nyuklia baada ya macho yangu kukutana na macho ya Salome akiwa ananishangaa huku akiwa amesimama mlangoni.

Nikafumba macho yangu kwa mara nyingine huku nikihisi ninaota na kuyafumba tena ila nikamkuta Salome pale pale akinitazama kwa mshangao sikujua hata ameingiaje ndani kwa Madam pasipo mimi kusikia chochote.Kwa aibu nikanyanyuka na kuipandisha suruali yangu na kujifunga vizuri mkanda
“Unataka nini?”
“Madam ameniagiza unipe simu yake ameisahau juu ya meza ya Tv chumbani kwake”
 
Nikageuza macho yangu na kuikuta simu ya Madam juu ya meza, Nikamuonyesha Salome akaenda kuichukua na kutoka ndani ya chumba cha Madam huku akitizama tizama nyuma.Nikauegemea mlango huku kajasho kakinitiririka.Nikamsikia Salome akizungumza na mwenzake
“Shosti twende zetu achana na hiyo movie tunachelewa”
“Mbona na wewe umechelewa kutoka humo ndani”
“Nilikuwa siioni simu nyenyewe”
 
“Huyo Eddy tuliye ambiwa tutamkuta umemuona?”
“Sijamkuta sijui atakuwa wapi”
“Ok twende zetu”
 
Moyo ukazidi kunipasuka nikakumbuka kwamba sikuizima TV(Luninga) ambayo nilikuwa ninatazama filamu ya ngono.Nikasikia wakifunga mlango wa kutokea nje.

Nikafungua haraka mlango na kwenda kuwachungulia dirishani nikamuona Salome akiwa na yule rafiki yake wa jana wakimalizikia kutoka getini,Nikaizima TV(Luninga).

Nikarudi chumbani kwa madam na kuanza kufanya usafi katika kila sehemu iliyopata madhara ya risasi za karoti yangu kisha nikaelekea bafuni kuoga ikanilazimu kuifua suruali kwani nayo imepeta madhara.

Nikaingia jikoni nikapika chai na baadhi ya soseji,Nikanywa chai ya nguvu kutokana na uchovu wa kutokulala jana usiku nilipokuwa kwenye kibanda cha walinzi nikajikuta nikipitiwa na usingizi mzito kwenye sofa
 
Nikahisi kitu kikipita katika uso wangu taratibu huku kikichezea chezea lipsi zangu,nikayafumbua macho yangu taratibu ila kutokana na usingizi sikuweza kumuona vizuri mtu aliye kaa pembeni yangu.

Nikajifariji atakuwa na Madam Mery nikalala kidogo huku nikihisi kitu cha baridi kikiingia katika sikio langu.Nikakurupuka kama mwanajeshi anaye sinzia lindo la usiku na kustushwa na sauti ya bosi wake.Nikamkuta Madam Mery akiwa amejifunga tenge na akawa ananicheka kwa jinsi nilivyo stuka
 
“Shikamoo Madam”
“Marahaba……..kumbe na wewe ni muoga ehee?”
“Hapana ila nilikuwa ninajihami kama kamanda”
“Kwenda zako huko kamanda gani wewe unayelala fofofo kama mtu aliyekufa yaani.Nimerudi nikapika chakula cha usiku hadi saa hizi saa mbili ndio nimeamua kukuamsha ule ila hukusikia chochote bado unajiona unasifa za kujiita kamanda?”
 
“Ahhh unajua madam jana usiku sikulala wale jamaa pale getini hawakunipa hata shuka la kujifunika”
“Mbona umelala na boxer suruali iko wapi?”
“Suruali nimeifua nilipokuwa nimekwenda kuoga”
Madam akawasha TV(Luninga) na kuweka upande wa chaneli tukaanza kuangalia taarifa ya habari.Madam akatandika kajimkeka kadogo ambacho nimezoea kuviona kipindi cha mfungo wakati watu wakifuturu.Kisha akaandaa chakula na kunikaribisha kukaa katika kijimkeka,Tukaanza kula huka Madam Mery akibadili mikao tofauti ya kihasara hasara na wakati mwengine ikapelekea hadi nikawa ninaiona nguo yake ya ndani
 
“Eddy una umri gani?”
“Miaka 20 ila mwezi ujao natimiza miaka 21”
“Eheee kumbe bado wewe ni chalii mtu akikuona na hilo umbo lako anaweza kusema una miaka 25 na kuendelea”
“Kweli wakati mwengine mpaka najiongezea umri kwani mtu ukimwabia nina miaka 20 anabi…..sha”
Nikjikuta nikiimalizia sentesi yangu kwa shida baada ya tenge lote alilo jifunga Madam Mery likiwa limefunuka na kuyaacha mapaja makubwa ya Madam Mery kuwa wazi na hapo ndipo nikaiona vizuri aina ya chupi aliyo ivaa.Uvumilivu ukanishianda nikajikuta ninauweka mkono wangu wa kushoto usio na chakula juu ya paja moja la Madam Mery na akawa kimya akinitazama nitafanya kitu gani kingine
“Eddy”
“Naam”
“Nakuomba uutoe mkono wako kwani utanipandisha majini yangu alafu ushindwe kuyashusha na ukanipa shida usiku wote”
 
“Majini gani hayo madam”
“Unataka uyaone jinsi yalivyo?”
“Ndio”
Madam Mery akacheka kisha akasimama wima na kunitazama kisha akatoa msunyo mkali ulio niogopesha na kujikuta nikirudi nyuma kidogo.

Akaninyooshea mkono kwa ishara ya kutaka kuninyanyua ila nikasita kwani sura yake amejikunja kama mtu aliye chukizwa na kitu.Akarudia tena kunipa mkono safari hii sikutaka kuogopa nikaushika mkono wake kisha akaninyanyua tukaanza kupiga hatua za taratibu na kuingia chumbani kwake.Madam akalifungua tenge lake  na kubakiwa na chupi aliyo ivaa.
Nikamshika kichwa madam na kukivutia kwangu na kuanza kumnyonya denda la fujo huku nikijitahidi kubadilishana naye mate.
 
“Eddy ngoja kwanza”
“Kuna nini tena Madam”
“Subiri kwanza”
Madam akapiga hatua hadi kwenye dreasing table yake akafungua moja ya droo ndogo akatoa vifaa Fulani vidogo na sindano vijidogo viwili ambavyo ninakumbuka niliviona siku moja baba alipokwenda kutupima afya mimi pamajo na mama katika hospitali yao ya jeshi
“Vya kazi gani madam”
“Nataka tupimane HIV kabla hatujafanya chochote”
“Khaa…..!!”
*****************
 
                    *****SORY MADAM*****(4)

“Unashangaa nini kwani ni ajabu?”
“Hilo kwangu ni jipya”
“Kwani Eddy unataka kuniambia kuwa wewe huna mpenzi?”
“Mpenzi sina”
“Hata kama unaye unadhani utasema.BAKI NJIA KUU ACHA MICHEPUKO”
“Njia gani?”
 
Madam akacheka huku akiendelea kivifungua vipakti vyenye sindano.Akachukua pamba akaipaka spirit kisha akachukua kidole changu cha mkono na kukipaka spiriti kwa kutumia pamba kisha kanichoma kasindano kwenye kidole hicho kisha akachukua kifaa hicho kidogo akachanganya na vitu vingine ambavyo sikujua kazi yake kisha akaviweka kwenye kifaa hicho na kikaanza kusoma taratibu.Madam Mery naye akafanya kama alivyo nifanya mimi kisha damu yake akaiweka katika kijifaa kingine kinacho fanana kama kifaa cha kwangu na wote tukawa tunasubiria majibu
 
Dakika kdhaa majibu yakaanza kuonekana huku Madam akinionyesha jinsi alama za kifaa hicho kinavyotoa majbu,na kwa bahati nzuri sote tupo salama
“Kwa hiyo Madam hiki kikisoma upande huu mtu anakuwa ameadhirika?”
“Ndio kwani hapa kuna postive one na two yani damu ikisoma huku ujue mtu huyo tayari ameadhirika.Unabahati upo salama”
“Kawaida”
“Wewe sema ni kawaida alafu uanze kuruka ruka nitakuwa nakupima kila siku”
“Mmmm sasa hiyo si itakuwa ni kero”
Madam akanishika kiuno huku akinitazama machoni,taratibu akauingiza mkono wake kwenye boxer yangu na kuitoa karoti yangu
 
“Uwiiii wee mtoto!?”
Madam alizungumza huku akiwa ameishika karoti yangu na akionekana kushangaa
“Nini tena madam?”
“Mmmmm hili dudu lako mbona kubwa hivyo tofauti na umri wako?”
“Hapana Madam mbona ya kawaida”
 
Madam Mery akabaki akinitazama huku akiendelea kuichua chua karoti yangu na kunifanya nianze kuisikia raha kama niliyo jipa asubuhi.Madam Mery akaanza kunilamba kuanzia tumboni huku akishuka taratibu hadi kwenye karoti yangu kwa utaratibu akaizamisha mdomoni mwake na kuanza kuinyonya.

Mkono wangu mmoja ukaanza kuminya minya chuchu moja la madam huku nikilirusha rusha chuchu juu chini chini juu.Madam akaichomoa karoti yangu mdomoni mwake kisha akachukua mkono wangu na kuanza kunyonya kidole kimoja baada ya kingine huku akitoa mihemo iliyozidi kunisisimua.

Nikamvua madama chupi yake kisha kidole changu kimoja kikazama katika mgodi wake wa dhahabu na nikaanza kutafuta eneo gani litakuwa na madini ya dhahabu
 
Nikamlaza Madam Mery kitandani na kuendelea kutafuta dhahabu katika mgodi wake kwa kutumia kidole changu.Madam akalegea kwa jinsi ninayo mfanya.

Akaichukua karoti yangu na kuipaka mate katika kichwa chake kisha akaichomeka kwenye mgodi wake na taratibu huku miguu akiwa ameipannua huku mimi nikiwa katikati yake watoto wa mjini mkao huu wanauita kifo cha mende.

Uchimbaji ukaanza kwa utaratibu wa hali ya juu huku taratibu nikianza kuusoma mgodi kwani ndio mara yangu ya kwanza kuuchimba mgodi wa Madam Mery.Kasi ya uchimbaji ikazidi kuongezeka kila muda unavyozidi kukatika.Madam akanilaza chini kisha akaikalia karoti yangu na kwa kasi ya ajabu akaanza kukata kiuno chake huku akipiga kelele za raha hadi ikafikia hatua nikamchomeke vidole mdomoni ili apunguze apunguze kelele zake ambazo hadi kwa wakati huo zimetawala chumba kizima
 
Kwa nguvu nilizo nazo nika mbinua Madam Mery na kumuweka chini kama wacheza miereka kina Jon Cena wanavyo fanya kisha nikamlaza kifudi fudi huku miguu yake nikiipanua kisha karoti yangu ikazama taratibu kwenye mgodi wake wa dhahabu  nikaendelea na uchimbaji wangu ambao Madam Mery anaonekana kupagawa kwa kila jinsi ninavyo chimba
 
“Eddy nataka uwe mume wangu”
“Kwani huna mume?”
“Eheee si………siina mume”
Madam alizungumza huku akitoa kelele za kupagawa.Nikaishika mikono yake miwili na kuivuta kwa anyuma na kumfanya Madam Mery kifua chake kunyanyuka kidogo,Nikamgeuza madam kisha nikamsogeza hadi kwenye kona ya ukuta nikampanua mapaja yake kisha nikaizamisha karoti yangu kwenye mgodi kisha miguu ya madam ikazunguka kiunoni mwangu na akaibana kwa nyuma huku akiwa amenikumbatia kwa nguvu akinihemea kwenye masikio yangu huku kiuno changu chepesi katika uendeshaji wa karoti kikifanya kazi kwa kasi ya ajabu na kumfanya Madam Mery kulalamika kwamba pumzi zinamuishia.Mtanange wa uchimbaji wa dhabu ukaishika huku Madam Mery akiwa anahema kwa fujo kama bata mzinga
 
“Madam tuunganishe basi kwa mzunguko wa pili?”
“Nyoo hembu niache utaniua mwana wa mzwenzio.Eddy nilikuwa nakuchukulia powa sana ila mmmmm yaani nimejisikia raha hadi kwenye ubongo wa kati”
“Kweli”
 
“Eddy sijawahi kumsifia mwanaume ila kwa wewe acha nikusifie yaani umenimudu hujanipa hata nafasi ya kuucheza mchezo”
“Nikupe nafasi ili unifunge kizembe”
“Mmmm hapa nilipo nimechoka kiuno kizima kinauma”
Sikuwa na uchovu kivile kutokana ndio kwanza nimemaliza mzunguko wa kwanza ila Madam Mery akionekana hana hamu na mimi.Akajigeuza na kuelekea ukutani na kuanza kuutafuta usingizi.,kwauchokozi nikaanza kumpapasa madam Mery katika makalio yake makubwa aliyo yaelekezea kwangu huku nikimtekenye tekenya katika mbavu zake na kumfanya kujitingisha tingisha
“Eddy bwana niache mwenzako kesho nitachelewa kuwahi shule”
 
“Kidogo tuu cha mwisho”
“Eddy jamani unajua nimechoka mwenzio?”
Madam Mery alizungumza kwa sauti ya kulegea huku akijitingisha tingisha kwa ishara ya kukataa mgodi wake usichimbwe madini tena.Nikajigeuza na kuanza kuyalamba makalio yake moja hadi jengine huku nikiyapiga piga viao vidogo vidogo visivyo na maumivu,nikarudi kukaa katika mkao wangu wa kama mwanzoni.Kwa jinsi Madam Mery alivyojilaza na kunipa mimi mgongo hakunizuia kuendelea kumchezea mgodi wake.Nikaunyanyua mguu wake mmoja juu kama antena ya king’amuzi  kisha nikaizamisha karoti yangu ndani ya mgodi,kutokana na Madam Mery kulalamika amechoka nikapunguza kasi ya uchimbaji wa madini na kumpa nafasi Madam Mery kutoa vilio vya
 
“Aiissii ooohooooo…….mmmmmmm…..uuuuu”
Vilio vya Madam vikanipa hamasa ya kumfanya ninavyotaka ili kumburudisha zaidi.Nikiwa katikati ya uchimbaji nikakumbuka juu ya kesi yangu ya kusimamishwa masomo kwa wiki moja
“Madam”
“Ohhooo mmmmm”
“Nifanyie mpango kesi yangu iishe mapema nirudi shule”
“Aisiiiiii ohooooo haa……yaaaa bee….ebeeibi niiiitaaa faaanya”
“Lini?”
“Eheeeeee”
 
Kwa utamu sikujua kama madam ananielewa ninachokizungumza,Nikamgeza kisha nikamuinamisa japo aliinama kiuvivu vivu huku dhahiri akionekana kuchoka,nikamuwekea mto mmoja katika kifua chake kisha akaulalia huku akiwa amebong’oka,Nikazishika nywele zake ndefu na kuzivutia nyuma huku nikiendelea na uchimbaji na kumfanya Madam Mery kulia vilio vya kama mara ya kwanza.
“Eddy nakufa mmmmmm…….”
 
“Hufi madam……..”
“Eddy niache mwenzio najisikia vibaya nahisi kutapika”
Sikumsikiliza Madam kwani kwangu raha ndio inazidi kuongezeka,nikamuachia nywele zake kisha nikaikita miguu yangu kwenye godoro nikawa kama nimekalia stuli huku mikono yangu ikikishika kiuno cha Madam Mery na kuzidi kuongeza mwendo kasi wa kiuno changu katika kuiendesha karoti yangu safari hii nikawa ninachimba katika kuta zote za mgoni na kumfanya Madam Mery aanze kutoa miguno kama mtu anayehitaji kutapika.Mpaka ninamaliza kuchimba madini Madam Mery akanyanyuka haraka kitandani na kutoka chumbani.Ikanilazimu na mimi kumfwata kwa nyuma kwenda kujua ni kitu gani ambacho kimemtoa kasi namna hiyo.Nikamkuta Madam Mery bafuni akiwa ameinama kwenye sinki la kupigia mswaki huku akimalizia kutapika.Akasukutua mdomo wake kwa maji na kuanza kupiga mswaki
 
“Madam vipi una tatizo gani?”
Hakunijibu chochote zaidi ya kuniangalia kupitia kioo kilichopo ukutani juu ya sink la kupigia mswaki.Akamaliza na kuanza kurudi chumbani huku nikiwa nyuma yake nikiangalia jinsi makalio yake makubwa yasiyo na nguo yanavyo pishana wenyewe wanafunzi tuna kijiwimbo chetu cha kuwaimbia wanawake wenye makalio makubwa
“Hamsini Hamsini*2 Mia”
 
Madam hakuzungumza kitu chochote hadi tukafika kitandani akachukua shuka lake akajifuniaka na kuanza kulaa.Nikabaki na alama ya kujiuliza ni kitu gani kinacho mfanya Mada mery kununa kana kwamba kitu nilicho mfanyia sio kizuri.Nikajichukua shuka langu nikajifunika na kuanza kulala huku moyoni mwangu nikiwa na furaha kwani hata tatizo langu nikalisahau.
 
Nikafumbua macho yangu na kumkuta Madam akiwa kama alivyozaliwa akijipaka mafuta mwilini mwake nikagundua kwamba kumepambazuka.Nikamsalimia akaitikaia salamu yangu kiunyonge na kunifanya ninyanyuke kitandani na kumfwata alipo kaa katika meza
“Madam mbona unaonekana kama umenikasirikia tatizo ni nini?”
“Eddy sijawahi ku***a kama ulivyo nifanya wewe jana usiku yaani hadi nimetapika mmmmm”
“Sasa ilikuwaje kuwaje ukatapika?”
 
“Si kwa jisi ulivyonibenua na kunivuta vuta nywele yaani hapa kichwa kizima kinaniuma inanibidi nikapime malaria wakati wa mapumziko ya saa nne”
“Pole mwaya itabidi haka kawiki tusifanye chochote”
“Hivi Eddy unajisikiaje unaponivuta vuta nywela mara mikono umeivuta kwa nyuma hivi unaonaje?”
“Haaa kuna utamu wake”
“Utamu gani wakati umeniumiza jana sikutaka kukuambia”
“Pole basi Baby vipi tupige basi cha kuendea shule”
“Eddy ninaumwa mwenzio niache”
“Kimojaaa kwani sasa hivi saa ngapi?”
“Saa kumi na moja na dakika kimi”
“Sasa saa kumi na moja yoye hii Madam unataka kuniambia unataka kwenda shule kwani unadhamu?
“Sina”
 
“Sasa baki baki kidogo”
“Eddy umenifanya niamke mapema yaani sijalala kwa amani nikijua utanifanya tena yaani hicho kitanda changu sina hamu nacho kabisa”
“Hujanijibu tufanye kidogo”

Madam Mery akanitazama huku akionekana kutaka ila nafsi yake inasita.Nikachuchumaa na kuyapanua mapaja yake yapo kwa mara ya kwanza aliyabana bana akiwa hataki niyapanue.Nikaingiza kidole kwenye mgodi wake taratibu huku nikimtazama machoni kwa jinsi anavyo fumba fumba macho kwa hisia kali.Nikaanza kuuchezesha ulimi wangu kwenye kisimi chake huku kidole kikiendelea kuichezea chezea Gsport iliyopo kwenye mgodi wake,mpaka Madam Mery akaanza kuinyanyua miguu yake juu huku akiwa anatetemeka kama amemwagiwa maji ya baridi.Kwa jinsi anavyo tetemeka ikaanza kuniogopesha nikamuachia na kumtazama huku naye akibaki ananitazama kwa macho yasiyo na nguvu ya kuona vizuri
 
“Madam vipi mbona unatetemeka?”
“Eddy nimekuambia nina umwa mwenzio naomba uniache.Hapa nilipo sijielewi elewi”
“Basi ukitoka hapa ptia na hospitali kwanza ndio uende shule”
“Sawa ila nitaenda kuwapa kazi ya kuandika kidato cha pili kisha mimi nitakwenda hosipitali”
“Powa ila hakikisha hufanyi kazi kubwa itakayo kuletea tatizo”
 
“Sawa mpenzi.Naomba hilo taulo nijifute”
Nikampa Madam Mery taulo akajifuta katika mgodi wake na taratiu akaanza kuvaa nguo zake huku nikimsaidia kumvalisha viatu nikamnyonya denda kwa dakika kama tano.Tukatoka hadi sebleni huku nikiwa nimejifunga taulo,Madam akaanza kunywa chai huku akivuta vuta muda japo mwanga uchomoze vizuri kwani kwa hali ya Arusha juu huwa uchelewa kuchomoza kutokana na ukungu mwingi kutawala katika eneo la anga.Tukakaa hadi mida ya saa kumi na mbili na nusu huku tukiwa tunatazama taarifa za habari katika chanel za Tanzania.Nikampa Madam Mery koti lake tukaagana kwa mabusu kisha akaondoka na mimi nikarudi chumbani kulala
 
Mida ya saa tano nikasikia mlango unagogwa nikanyanyuka nikaitazama suruali yangu nikaikuta imekauka nikavaa na kwenda kumfungulia mtu anayegonga.Nikakutana na msichana wa kidato cha pili ilikuwa ni rahisi kumgundua kwani katika shule yetu kila kidato wanafunzi wanavaa sare zao
“Shikamoo”
“Marahaba vipi?”
“Safi wewe ndio kaka Eddy?”
“Ndio”
 
“Madam ameniagiza nikuambie kuwa amelazwa katika hospitali ya shule ila anasema usiende mpaka atakapo kujulisha”
“ Sawa hali yake ipo vipi?”
“ Sio nzuri sana kwani alijisikia vibaya akiwa anatufundisha darasani kwetu ndio akapelekwa hospitali na Madam Rukia”
“Powa mdogo wangu nashukuru kwa taarifa yako”
“Sawa ila amesema usitoke toke kwenda kutembea kwani walimu wanajua umekwenda kwenu”
“Powa..Dogo unamjua jamaa flani wa kidato cha tano anaitwa Jonh Magati?”
“Hapana”
 
“Powa mdogo wangu siku njema”
“Na wewe pia”
Mwanafunzi aliye agizwa na Madam Mery akaondoka na na mimi nikarudi ndani huku moyo wangu ukiwa unajilaumu ni kwanini nilimzidishia dozi Madam Mery kwani kuna mara kadhaa aliniomba kupumzika.Kabla sijaingia chumbani kwa Madam Mery mlango ukagogwa tena nikajua moja kwa moja atakuwa ni yule mwanafunzi wa kidato cha pili.Nikafungua mlango na kijikuta nikirudia rudia kuyapandisha macho yangu kutoka chini hadi juu nikimtazama jamaa mrefu aliye jazia kifua chake huku akiwa amevalia nguo za jeshi zilizo kamilika kuanzia juu hadi chini huku akiwa na nyota moja begani mwake na mgongoni mwake akiwa amevalia begi kubwa la jeshi huku akionekana kutoka safari
 
“Shikamoo”
“Marahaba”
Jamaa akanijibu kiufupi kisha akapiga hatua za kuingia ndani ikanibidi kumpisha mlangoni huku nikiwa ninajiuliza jamaa ni nani kwani anaonekana kujiamini sana
“Samahani kaka sijui wewe ni nani mwenzangu?”
“Unaniuliza mimi ni nani ndani ya nyumba yangu?”
 
Moyo ukanipigwa paaaa kama jiwe lililotua juu ya bati tena la nyumba ya uswahilini.Nikajua jamaa anaweza akawa mume wa Madam Mery mapigoa moyo yakazidi kunienda mbio pale jamaa alipoanza kupiga hatua za kwenda chumbani kwa Madam Mery kwani boxer na tisheti ya shule vyote vipo ndani ya chumba hicho na vipo sehemu ya wazi kwa mtu yoyote anayeingi lazima ataviona,na kingine kilichozidi kunipagawisha ni kitanda nilivyo kiacha kimevurugika kwani kinaonyesha hivi hivi kilikuwa ni kiwanjwa cha mechi za wakubwa

Itaendelea 
RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 3 & 4 RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 3 & 4 Reviewed by WANGOFIRA on 20:40:00 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.