Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2

Ningependa Kukushukuru Mpenzi Msomaji, Uliyekuwa Nasi Katika Simulizi Ya Kwanza Ya Mwanafunzi Mchawi. 
Hiyo Riwaya bado inaendelea na ndo kwanza imefikia patam. Wakati tukiendelea na Riwaya hiyo, tumeona tusikuache mtupu, tukaamua kuja na hii mpya huku ukiendelea na ile ya mwanzo ambayo huwekwa kila baada ya siku moja. *****
Mtunzi:Eddazaria G.Msulwa
Ni siku ya jumamosi kama kawaida wanafunzi wote wa shule tunayosoma tunakwenda viwanjani kucheza michezo mbali mbali kama mpira wa miguu na michezo mingine ambayo wanacheza wasichana waliopo katika shule yetu ambayo niya bweni yenye mchanganyiko wa wasichana na wavulana kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita na nishule ya mtu binafsi(PRIVET SCHOOL) iliyopo katoka mkoni Arusha.

Kama kawaida yangu ya kuwa shabiki wa timu ya darasa langu la kidato cha tano ninachosoma ninaendelea kutazama mechi tunayocheza na kidato cha tatu hadi wakati huu tumeshafungwa goli mbili kwa moja huku dakika zikiwa zinakimbia kuelekea ukingoni huku mashabiki wa kike wa kidato cha tano wakiendelea kuwapa moyo wachezaji wetu waliopo uwanjani

“Oya Eddy mcheki yule manzi pale”
“Yupi?”
“Yule aliyevaa sweta jeupe”
“Ana nini?”
“Cheki alivyo bomba majamaa kibao wamemtokea wamepigwa chini”
“Yupo kombi gani?”
“HKL”
“Ndio maana angekuwa huku tulipo sisi wala asingekuwa mzuri”

“Hembu acha pumba zako Eddy”
“Kweli John unadhani angekuwa science unadhani angekuwa hivi wewe si unawaona wakina Matha walivyo kauzu class hadi kuwatongoza mtu unashindwa”

Tukajikuta tukikatisha mazungumzo baada ya mchezaji wetu mmoja kufunga bao la kukomboa jambo lililoturudishia furaha hata ya kuwepo uwanjani.
Kabla hata ya dakika mbili mbele mchezaji wetu yule yule akafunga bao jingine kupitia mpira wa kona uliopigwa na akaudumbukiza nyavuni kwa kichwa na kuamsha shangwe za wanafunzi wote wa kidato cha tano na kuwafanya mashabiki baadhi kuingia uwanjani huku wakishangilia kwa furaha kwani tayari dakika zilisha kwisha.
Mimi na rafiki yangu John tukabaki nje ya uwanja huku sura zetu zikiwa na furaha kupita maelezo

“Wee dada jamaa anakuita hapa”.John alimuita yule msichana tuliyekuwa tunamjadili dakika kadhaa zilizopita.
Akatuangalia kwa dharau yeye na rafiki zake kisha wakaongea maneno ya kunong’onezana na kuanza kucheka kicheko kilichotufanya tuwe kimya kama tumemwagiwa maji ya baridi.
Safari ya kurudi shuleni ikaanza kwani kiwanja chetu cha mpira kipo eneo la nje ya eneo la shule.Tukiwa tumeongozana na kundi la wasichana wa kidato chetu wakiimba nyimbo za ushindi mimi na John tukawa na kazi ya kumfwatilia yule msichana ambaye kusema la ukweli amejaliwa uzuri unaweza kusema alipewa siku yake ya pekee katika uumbwaji wake

Tukafika hadi kwenye duka la shule ambapo yule msichana alikwenda na rafiki yake ambaye kidogo naye anavutia japo si sana.Kutokana hatukuwa na lengo la kufika katika duka hilo kwa aibu tukajikuta tukinunua mifuko miwili ya pipi za Big boom

“Claudia ile hela siioni” Yule msichana alizungumza huku akiwa anajipapasa papasa kwenye mifuko ya sketi yake huku akionekana kuwa na wasiwasi wa hali ya juu kwani tayari walishakunywa soda pamoja na kula keki za watu

“Hebu tazama vizuri”
“Kweli si unaona mifuko yote haina hela jamani sijui imeangukia wapi”

Nikawatazama kwa huruma kisha nikatoa waleet yangu mfukoni iliyotuna kwa wingi wa pesa nikamuuliza muuza duka ni kiasi gani cha pesa anachowadai akaniambia nikawalipia na chenchi iliyobaki nikamwambia muuza duka awapatie.
Tukaanza kuondoka kabla hatujafika mbali Claudia akatuita na tukasimama wakaja katika lile eneo tulilosimama huku rafiki yake ambaye ndio aliyetufanya twende pale dukani kwa kumfatilia akaawa analia

“Samahani kaka zangu tunawashukuru”

“Haina shida vitu vya kawaida,Eddy twende zetu”

“Ngojeni kwanza”

Claudia alizungumza huku akimshika John beda aliyeanza kugeuka na kutaka kuanza kuondoka katika eneo tulilo kuwepo

“Mbona huyo mwenzako analia”

 “Amepoteza pokety money yake ndio kwanza ametoka kuipokea leo mchana kwenye basi”

“Mmmm poleni”

John alizungumza kwa maringo na kuanza kuondoka ikanilazimu mimi kubaki kwani roho ya huruma ilianza kunitawala huku wakati wote nikimtazama yule msichna ambaye bado sikulitambua jina lake

“Amepoteza sh ngapi?”

“Eti Salome umepoteza shii ngapi?”

“Elfu themanini na tano”

Nikakaa kimya kama dakika mbili nikifikiria nini nifanye,nikajikuta nikiitoa wallet yangu mfukoni na kuesabu noti tisa za elfu kumi kumi kisha na kuzitoa na kumpa Salome taratibu akazipokea huku akiwa haamini tukio linalo tendeka kwa wakati huo.

“Zitakusaidia saidia siku mbili tatu”

“Asante sana kaka yangu”

“Powa ukiwa na shida utakuja darasa la PCB ndio ninaposoma”

Nikawapa na mfuko wa pipi nilio nunua kisha nikaondoka huku moyoni mwangu nikijifariji kuwa tayari nimesha fanikiwa katika hatua ya kwanza ya kumpata mtoto mzuri.
Tukafika bwenini tukaoga kujiandaa na sikukuu ya wanafunzi ambayo hufanyika kila mwisho wa mwenzi wakati wa usiku katika ukumbi wa shule.
Sikukuu hii hutoa fursa ya wanafunzi kuonyesha vipaji vyao mbali mbali.Tukapitia katika cantin ya shule na tukanunua chakula kisha tukaelekea kwenye ukumbi uliojaa wanafunzi kuanzia kidato cha kwanza ahadi cha sita

Shughuli zikaanza huku wanafunzi mbali mbali wakionyesha vipaji vyao huku wakishangiliwa na wanaofanya vibaya huzomewa.Ukumbi ukakaa kimya huku tukiwasubiria washiriki wa shindano la umiss wa shule kupita mbele yetu huku majaji wakiwa ni waalimu wetu wa michezo pamoja na wanafunzi baadhi.
Wakaanza kuingia mmoja mmoja huku wakiwa wamependeza,nikajikuta ninanyanyuka kwa furaha huku nikipiga makofi hii ni baada ya kumuona Salome akiwa katika msururu huo wa mamisi waliochanganyika vidato mbali mbali.
Wakajipanga mbele ya majaji na kuanza kuulizwa maswali mmoja baada ya mwingine kwa lugha ya kingereza.Ikafika zamu ya Salome kuulizwa swali wanafunzi wote wakakaa kimya kumsikiliza atakacho kijibu

“SALOME CAN YOU TELL US WHAT IS LOVE?”(Salome unaweza kutuambia upendo ni nini?)

“Love is force of nature however much we may want to,we can not command,demand or disapper love,any more than we can and in adition love cannot  be bought,sold or trade.You cannot make some one to love you.Thanks”(Upendo ni hali ya msukumo wa kihalisia kwa jinsi tunavyo hitaji.Hatuwezi kulazimisha,kukomalia au kutawanya upendo kwa kadri tunavyoweza na kwa kuongezea Upendo hauwezi kununuliwa kuuzwa au kubadilishana.Hauwezi kumfaya mtu kukupenda wewe.Asante”)

Ukumbi mzima ukapiga makofi kasoro mimi kwani nikajikuta sentensi ya mwisho ya Salome ikijirudia rudia akilini mwangu “YOU CAN CANNOT MAKE SOMEONE TO LOVE YOU”(Huwezi kumfanya mtu kukupenda).Wakatoka ukumbini kwa wimbo walio ingilia kupisha mambo mengine kuendelea huku tukisubiri matokeo kutoka kwa majaji wetu.
Muda wa matokea ukawadia huku washiriki waote wakisimama mbele yatu.Jaji mmoja akaanza kutangaza nafasi kuanzia ya tatu na ya pili huku nafasi ya kwanza akimkabidhi mgeni rasmi ambaye ni mmiliki wa shule kuitangaza huku wakiwa wamebakia washiriki wanne.Tukakaa kimya kusubiria ni nani atakaye nyakua taji kwa mwaka huo

“NA MSHINDI WETU NI……………………..SALOME ALEX EDWARD”

Ukumbi mzima ukanyanyuka na kuanza kupiga makofi ikiwemo mimi huku John akinisukuma sukuma kila wakati huku akinionyeshe jinsi Salome alivyopendeza na kuzidi kuvutia kwenye macho ya wengi.Akaanza kuvalishwa vitu wanavyo valishwa mamisi pale wanapashinda huku akikabithiwa uwa kubwa na mgaeni rasmi.
Muongoza shindano MC akamuomba Salome amchague mtu wa kwenda kucheza naye mziki kwa dakika tano.Salome akachukua kipaza sauti na sote tukakaa kimya kumsikiliza ni nani atapata bahati hiyo ya kuitwa mbele ya ukumbi huo.Salome akatizama tizama na macho yake akaelekea sehemu tuliyokaa sisi.Akanyoosha kidole chake watu wote wakaangalia tulipo sisi

“Eddy hichi kidole ni chako”.John alizungumza huku akinisukuma sukuma kwa kutumia bega lake.Nikanyanyuka kidogo ila Salome akatingisha kidole chake kwamba si mimi ni jamaa aliyekaa kiti cha nyuma yetu ambaye ni kaka mkuu wetu.
Jamaa akanyanyuka kwa furaha huku wezake nyuma wakimtuma akamchezee Salome hadi alainike.Mimi na John tukabaki kama watu wasio amini huku mimi roho ikianza kuniuma kupita maelezo na kumfanya John kuachia msunyo mkali adi watu wa pembeni yetu wakamtazama na kuanza kucheka

“Mademu wengine bwana was**e kama nini” John alizungumza huku akiendelea kutoa misunyo.Jamaa kama alivyoagizwa na wezake akawa anazidi kumshika shika Salome mwili wake huku wanafunzi wakishangilia kwa furaha na kuzidi kunifanya niichukie sikukuu hiyo

“John twende zetu tukalale” Tukanyanyuka kwenye viti vyetu kutokana na mlango wa kutokea upo mbele tukalazimika kupita mbele ya ukumbi huku macho yangu yaliyojaa hasira yakimtazama Salome ambaye naye alinitazama kwa sekunde kadhaa kisha akayapeleka macho yake sehemu nyingine.Tukashuka kwenye ngazi za ghorofa lenye ukumbi wa shule.Kabla hatujafika chini mwanafunzi mmoja akatuita

Mwalimu wa zamu akachukua fimbo yake na kutuamuru tulale chini John akawa wa kwanza kuchapwa fimbo nne za nguvu kisha nikafatia mimi,Nikashanga kuona mwalimu wa zamu akinichapa fimbo tano na kuniamrisha nikae vizuri anichape fimbo ya sita kwani anadai nimesunda.Nikanyanyuka kwa hasira na kuishika fimbo ya mwalimu wa zamu na kuivunja na kuwafanya wanafunzi na waalimu kushangaa tukio hilo

*******
                                    *****SORY MADAM*****(2)

 Mwalimu wa zamu akanitazama kwa hasira akarusha kofi nikalikwepa na kurudi nyuma huku nikijiweka tayari kwa chochote atakacho jaribu kukifanya,Mwalimu wa zamu Mr Kikole akanirushia ngumi ambayo niliikwepa ikapita pembeni.
Waalimu wengine wakaja kumshika mwalimu wa zamu anaye onekana kuwa na hasira na mimi wakamtoa nje ya ukumbi na kusababisha shunguli kusimama kidogo.Mkuu wa shule akaagiza walinzi wanipeleke kwenye kibanda chao wanacho lala na kesi yangu wataisikiliza asubuhi

Usiku mzima sikulala kutokana na mawazo ya kuhisi inaweza ikawa ndio safari yangu ya mwisho katika shule hiyo.
Ila kingine kinachonifanya  nishindwe kulala ni kutokana na hali ngumu iliyokuwemo ndani ya kibanda hicho kwani kina meza na viti viwili na mbaya zaidi hawakunipa hata shuka la kujifunika kujikinga na baridi kali iliopo hapa mkoani Arusha.
Kila wakati ninaangalia saa yangu ya mkononi huku nikiomba asubuhi iweze kufika kwa haraka.Saa kumi na mbili na nusu waalimu wakaanza kuingia katika geti la shule ambalo lipo karibu na kibanda cha walinzi.
Nikamuona Madam Mery akiingia getini na kituo chake cha kwanza akafika katika kibanda nilichopo.Akasalimiana na walinzi waliopo katika kibanda hicho huku akionekana kunishangaa kuniona katika kibanda hicho

“Ehee Eddy vipi mbona huku asubuhi yote!?”
“Madam wee acha tu jana”
“Niache nini sasa jamani kaka zangu naomba nizungumze naye”
 
Walinzi wakatoka kwenye kibanda na kutuacha na Madam Mery ambaye kipindi ninaletwa na baba yangu kuja kujiunga na shule hiyo alinikabidhi kwake na akawa kama mlezi wangu hapo shule,Nikamhadisia mkasa mzima ulionikuta kati yangu na mwalimu wa zamu Mr KIkole.Hadi ninamaliza kumhadisia Madam Mery akaachia msonyo mkali uliozidi kuniogopesha

“Yule mzee ni mlevi sana utakuta jana alikuwa amelewa.Kwa hiyo wamekulaza huku?”
“Ndio”

“Nani aliye agiza uje kulazwa huku?”
“Head master”(Mkuu wa shule)
“Ngoja nitazungumza nao”

Madam Mery akaaga na kuondoka na kuniacha kibandani.Mida ya saa mbili na nusu nikaja kuchukuliwa na mwalimu mwingine ambaye naye ni mwalimu wa zamu,Tukaingia katika ofisi ya nidhamu na kuwakuta waalimu wengine akiwemo Mr Kikole na wakaanza kunihoji maswali ya tukio ambalo nililifanya jana usiku.

“Inavyoonekana wewe kijana ni jeuri sana ehee?”
“Hapana headmaster”
“Mkuu wa shule unaona jinsi hata jibu lake anavyo ilwekea kibesi yaani anajifanya kidume cha mbegu”

Mwalimu Kikole alinichochea kwa mkuu wa shule nikabaki nikimtazama kwa jicho la hasira

“O level yako ulisoma shule gani?”
“St Joseph nchini Kenya”

“Ahaaa huko ndipo ulipo fundishwa kuwagomea waalimu na kutaka kuwapiga wewe unajiona ni mbabe sana au huo mwili wako mkubwa ndio unakudanyanya?”

Mwalimu wa nidhamu alizungumza huku akinichunguza juu hadi chini

“Hapana mwalimu ninaomba munisamehe”

“Alafu hivyo viatu si sare ya shule na isitoshe hiyo suruali umeshona modal”

“Ndio mwalimu viatu vya vya darasani vipo bwenini.Hivi ni viatu vya kushindia ila suruali hii pia ni yakushindia”

“Kombi gani wewe?”
“PCB”
“PCB gani mjinga mjinga kiasi hicho?”
“Baba yako anafanya kazi gani?”

“Mwalimu samahani mumekuja kujadili kesi yangu ila si kuuliza kazi za wazazi wangu”
“Hahaa haaa haaa wewe dogo ndio unamjibu head master kiasi hicho kwanza piga magoti unasimama simama unadhani upo kituo cha daladala Pumbavu wee”

Mwalimu kikole akazidi kunichochea akionekana kudhihirisha chuki na mimi ambayo sikujua imetokea wapi,Nikapiga magoti na kuendelea na maswli yao ambayo asilimia kubwa ni maswali ya kipuuzi

“Kijana utapotea unaleta ujinga mbele yetu kwanza lala nikumalizie kukuchapa ile fimo yangu ya jana”

“Sir Kikole ngoja kwanza tumaliane naye hiyo fimbo utamchapa mwisho wa mazungumzo”Head master(Mkuu wa shule) alizungumza na kumfanya mwalimu Kikole kurudi katika kiti alichokuwa amekalia

“Kijana hivi unatambua kuwa kwa kosa ulilo lifanya unastahili kufukuzwa shule”

“Mkuu mimi ni sawa sawa na mwanao  sidhani mtoto akinyea kiganja unakikata tafadhali baba yanguu ninaomba nafasi yenu ya mwisho na ahidi sinto fanya tena ujinga kama nilio ufanya jana”

Nilizungumza huku machozi yakinitirika usoni mwangu huku nikimuona mkuu wa shule akiingiwa na huruma.Wakaniomba nitoke nje ya ofisi hiyo wajadili nini watakacho kiamua.Nikiwa nimekaa kwenye benchi lililipo nje ya ofisi za nidhamu nikamuona Salome akiwa ameongozana na rafiki yake mwingine wakielekea katika ofisi za utawala wa shule.Salome akaninyooshea mkono wa kunisalimia wala sikumfatiliza zaidi ya kumuangalia kwa macho yaliyo jawa na hasira

Waalimu wakaniita tena ndani ya ofisi kusikia hukumu waliyo ipanga.Wakafikia hatua ya kunisimamisha shule kwa wiki moja kisha nirudi na mzazi siku ambapo adhabu yangu itakapoisha.
Nikakabidhiwa barua ya kusimamwisha shule.Nikamfata Madam Mery ili aweze kunishauri kwani ninapofikiria kurudi nyumbani ninaogopa kupata kipigo kutoka kwa baba yangu ambaye ni mwanajeshi na siku zote huwa hapendi nifanye ujinga ninakumbuka mara ya mwisho kunichapa hadi nikapoteza fahamu ni pale nilipofeli kidato cha pili na kushika nafasi ya kumi bora kwani siku zote amezoea kuniona nimeshika nafasi ya kwanza au ya pili ndio roho yake huridhika.Na mbaya zaidi mama yangu yupo nje ya nchi kikazi

“Madam siwezi kwenda nyumbani kwani yule mzee ataniua”
“Sasa Eddy mwanangu utaishi wapi?”
“Ninapesa ya kutosha nitachukua chumba hoteli yoyote”

“Ok ila kama hutojail utakuja kukaa kwangu ili kuokoa pesa yako ya matumizi”
“Nitashukuru sana Madam”

“Nenda bwenini kachukue madaftari yako ili uwe unajisomea kwa kipindi chote cha adhabu yako”

“Sawa madam”
“Nenda nakusubiri nikupeke nikakuache”

Kidogo furaha yangu ikaanza kunirejea nikaenda bwenini kuchukua madaftari yangu pamoja na vitabu kisha nikarudi nilipo muacha madam Mery na safari ya kwenda kwake ikaanza.
Atukuchukua muda kufika kwake kutokana si mbali sana na ilipo shule yetu.Akanikaribisha katika masofa mazuri yaliopo katika sebule yake iliyo pangwa vizuri na kutawaliwa na vitu vya thamani

“Madam unaishi na nani?”
“Peke yangu kwani vipi?”
“Kwako pazuri umejua jinsi ya kupapanga”
“Eddy mwanangu acha kunifurahisha.Mimi ni mwanamke inanilazimu kuwa msafi hivi ungeingia ukakuta mavitu yamekaa shaghala baghala nahisi hata wewe usinge kubali kuishi hapa”

“Ila kweli Madam.Ninaruhusiwa kuwasha TV?”

“Washa tu jisikie upo huru kama nyumbani kwenu kwa mzee Godwin.Hivi ameeacha ukorofi wake?”

“Mmmm ukorofi aache wapi yaani hapa nafikiria jinsi gani nitamuanza juu ya hii kesi ili aje huku na akija nahisi ataninyonga mbele yenu”

Nilizungumza huku nikitafuta rimoti ya Tv(luninga) pamoja na redio sabufa iliyopo sebleni humo huku madam Mery akinioshea matunda na kuniwekea kwenye sahani.
Gafla sote tukajikuta macho yetu tumeyatazama kwenye TV(luninga).Kwa bahati mbaya CD iliyopo kwenye redio hiyo ni CD ya filamu za ngono ikionekana Madam Mery aliisahau alipokuwa akiitazama sikujua ni siku gani.
Madam Mery akanitazama kwa jicho la kuibaiba jinsi ninavyo itazama filamu hiyo waliocheza wamarekani weusi huku wakionekana kukubuhu katika swala la kucheza filamu hizo.

Madam Mery taratibu akaweka sahani yake nyenye matunda kwenye meza ya kioo hapo ndipo nikastuka na kujikuta nikiizima TV huku karoti yangu ikiwa inafurukuta katika suruali yangu ya shule niliyo ivaa.
Madam akaondoka sebleni pasipo kuaga huku akionekana kuwa na aibu na kuingia katika moja ya chumba ambacho kina pazia kubwa na zito.Nikaanza kula tunda moja baada ya jindine huku nikijiuliza maswali kumbe hata Madam ni mpezi wa filamu za aina hiyo,Nikamsikia  Madam akizungumza na simu huku maneno niliyoyasikia vizuri ni akimuomba mwalimu mwingine kumsaidia vipindi vyake kidato cha pili kwani yeye atachelewa kurudi shuleni hajisikii vizuri.

Baada ya simu kukatwa sikusikia sauti yoyote zaidi ya ukimya kutawala,Sikutaka kufatilia sana zaidi ya kuendelea kula matunda huku nikifungua fungua kitabu changu cha Physics na kupitia pitia mada rahisi rahisi.
Ukimya ukaanza kutoweka taratibuu baada ya kusikia vilio na miduno kutoka katika chumba alicho ingia Madam Mery.Kama ilivyo wanafunzi kutaka kujionea kila kitu,nikanyanyuka taratibu na kupiga hatua za taratibu hadi kwenye pazia.Nikajikuta nikitahayari baada ta kukuta mlango umefungwa.Nikalisogeza sikio langu taratibu hadi likagusa mlango na kusikilizia ni nini Madam Mery anacho kifanya chumbani kwake kwani miguno inayosikika si ya kawaida

Vilio vya mama mama vikazidi kutawala chumbani kwa Madam Mery huku mihemo kama ya mtu anayefanya mapenzi ikisikika.Nikaanza kupata hofu huenda Madam amepatwa na ugonjwa ambao anahitaji kupelekwa hospitalini.
Nikaunyanyua mkono wangu nikijiandaa kuudonga mlango ila nafsi yangu ikasita.Vilio vikanyamaza gafla na kujikuta nikianza kupiga hatua za haraka kurudi sebleni nilipokuwa nimekaa.Nikasikia vitasa vya mlango vikifunguliwa nikajua Madam anatoka chumbani kwake,nikajifanya nipo bize katika kusoma ninacho kisoma.
Nikayapandisha macho yangu taratibu kutoka chini ya miguu mizuri nyenye rangi nzuri ya kuvutia huku ikiwa imevalishwa vijicheni kwa kila mguu na kuendelea kuyapandisha macho yangu yakatua kwenye magoti mazuri yaliyounganisha mapaja yaliyozibwa na kanga iliyoanzia kifuani na kuficha chuchu zilizo jaa vizuri na kuonekana vizuri.Macho yangu yakatua usoni kwa sura ya Madam Mery iliyojaa jasho kwa mbali

“Eddy unasoma nini?”
“Kuna maswala ya Electrons ninayatazama tazama”
“Soma mwaya ngoja mimi nikaoge kuna panya nilikuwa ninamtafuta huko chumbani kwangu ana niharibia nguo kama nini”
“Ume mpata huyo panya?”
“Sijampata labda ukanisaidie”

Nikanyanyuka na Madam Mery akaniruhusu niingie katika chumba alichotoka dakika kadhaa zilizopita kisha yeye akaelekea bafuni.
Nikajikuta nimesimama huku nikiwa nimejishika kiuno nisijui ni wapi nianzie kwani vitu vizuri ambavyo vipo kwenye mpangilio mzuri sikuamini kama kuna panya anaweza kuishi humo ndani.
Nikapiga magoti na kuinama na kuchungulia chini ya uvungu ila sikuona dalili ya kuwemo kwa panya.Ila nikakiona kitu kirefu kiasi ikanilazimu kuingiza mkono wa kulia kuweza kukitoa kitu hicho.Nikabaki nimeduwaa baada ya kitu hicho kufanania kama karoti za wanaume

Nikiwa ninaenedelea kuichunguza vizuri Madam Mery akaingia huku khanga yake aliyo ivaa ikiwa imelowana kwa maji na kushikamana na mwili wake na kumchoresha maungo yake vizuri ikiwemo makalio yake makubwa ambayo siku zote akipita mbele ya wanafunzi wa kiume tuliishia kunong’ona nong’ona huku tukibaki tunamtamani kwa macho

“Madam sijamuona panya” Nilizungumza kwa kujishtukia huku karoti yake ya bandia nikiificha kwa nyuma ili asiione.
Madam Mery akanitazama  kwa macho yanayo ashiria kitu ila sijui ni kiti gani na taratibu akaanza kupita mbele yangu na kwenda alipo tundika taulo lake na kuanza kujifuta maji huku akiwa amenipa mgongo huku mguu wake mmoja akiuweka juu ya meza kisha akainama kidogo ili kuvifikia vidole vya mguu huo alio uweka katika meza na khanga aliyoivaa kwa jinsi ilivyonaatana na mwili wake imeingia kidogo katikati ya mstari wa makalio yake na kuyafanya yagawanyike kama vilima viwili vy Kibo na Mawezi tunavyoviona katika mlima Kilimanjaro

Itaendelea  kesho
Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2 Sorry Madam - Sehemu ya 1 & 2 Reviewed by WANGOFIRA on 09:11:00 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.