Wakurugenzi Walioteuliwa Watakiwa Kwenda na Vyeti Halisi Ikulu
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi
kuwa ametoa taarifa kwa wakurugenzi wa Halmashauri za Majiji, Manispaa,
Miji na Wilaya walioteuliwa kuwa watakapofika Ikulu Dar es salaam kwa
ajili ya kula kiapo cha uadilifu wa uongozi wa umma siku ya Jumanne July
12 2016 wahakikishe wanakuja na nakala zao halisi za vyeti vya
kitaaluma (Original Academic Certificates).
Taarifa hiyo imeeleza kuwa uhakiki wa vyeti halisi vya kitaaluma (Original Academic Certificates) unafanywa kwa lengo la kujiridhisha baada ya mchakato wa kawaida wa uhakiki kufanywa kwa kutumia vyeti visivyokuwa halisi (Photocopies)
Taarifa hiyo imeeleza kuwa uhakiki wa vyeti halisi vya kitaaluma (Original Academic Certificates) unafanywa kwa lengo la kujiridhisha baada ya mchakato wa kawaida wa uhakiki kufanywa kwa kutumia vyeti visivyokuwa halisi (Photocopies)
Wakurugenzi Walioteuliwa Watakiwa Kwenda na Vyeti Halisi Ikulu
Reviewed by WANGOFIRA
on
20:49:00
Rating:
No comments: