Mfereji wa Panama wafunguliwa
Meli
kubwa ya kichina imeanza kupita katika mfereji wa Panama ikifanya
safari yake ya kwanza kwenye mferejii huo uliofanyiwa ukarabati wa
kuupanua uliochukua karibu miaka kumi.
Maelfu ya watu walipeprusha
bendera wakati chombo hicho kinachosheheni zaidi ya mabohari 9,000
kiliingia mfereji huo kikitokea bahari ya Atlantic.Meli hiyo itachukua saa chache kuvunjika na kuingia bahari ya Pacific ambapo viongozi wanane watahudhuria shere za kufunguliwa kwa mfereji huo wa Panama.
Mradi huo utaongeza mara dufu idadi ya meli wanaopita na kupunguza gharamna ya usafiri wa haharini kwa mabilioni ya dola kila mwaka.
CHANZO BBC
Mfereji wa Panama wafunguliwa
Reviewed by WANGOFIRA
on
08:55:00
Rating:
No comments: