CHUO CHA ST. FRANSIS CHAFUKUZA WANAFUNZI WOTE WA SHAHADA YA UDAKTARI MWAKA WA TATU
Chuo Kikuu cha St. Francis ambacho ni tawi la Chuo Kikuu cha St. Augustine kimewafukuza wanafunzi wote waliokua wakisoma katika kitivo cha Medical Science.
Chuo hicho kimefikia hatua hiyo baada ya kueleza sababu 5 kwanini wanafunzi hao hawatakiwi kuwapo chuoni baada ya saa kumi jioni ya jana.
Nimeambatanisha na taarifa ya kufukuzwa kwa wanafunzi hao.
CHUO CHA ST. FRANSIS CHAFUKUZA WANAFUNZI WOTE WA SHAHADA YA UDAKTARI MWAKA WA TATU
Reviewed by WANGOFIRA
on
20:56:00
Rating: