NAIBU WAZIRI ASHIRIKI ZOEZI LA UPANDAJI MITI RUVU.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais Muungano na Mazingira Mh. Luhaga Mpina
akipanda Miti katika Hifadhi ya Msitu
wa ruvu kaskazin uliyopo kibaha Mkoani Pwani mapema hii leo,wengine ni
Baadhi ya wakurugenzi wakishuhudia Upandaji huo.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais Muungano na Mazingira Mh.Luhaga Mpina akitoa maelekezo kwa Naibu katibu
Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii
Injinia Angelina Madete( katikati) kuhusu upandaji miti katika sehemu
mbalimbali katika hifadhi ya misitu kibaha Mkoani Pwani,mapema hii leo katika
siku ya upandaji miti.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais Muungano na Mazingira Mh.Luhaga Mpina akipata maelezo mafupi kutoka kwa
Mkururugenzi wa Idara ya Misitu na nyuki kutoka Maliasili Bi. Gladness Mkamba
mapema leo katika kuadhimisha siku ya
upandaji miti iliyofanyika ruvu kaskazini Mkoani Pwani
NAIBU WAZIRI ASHIRIKI ZOEZI LA UPANDAJI MITI RUVU.
Reviewed by WANGOFIRA
on
12:03:00
Rating:
No comments: