Helikopta iliyotumika kushambulia mahakama yapatikana Venezuela
Jengo la mahakama lililoshambuliwa |
Makamu wa rais wa Venezuela, Tareck El Aissami, amesema helikopta hiyo ilipatikana karibu na karibu na jimbo la Vagas pwani kaskazini, kilo mita arubaini na tano kutoka mji mkuu wa Caracas.
Aliatoa picha zinzo inayoonyesha helikopta hiyo katika maeneo ya milima ikisafisha maeneo yaliyozungukwa na migomba ya ndizi.
Kufikia sasa hakuna dalili yakupatika na kwa rubani Oscar Lopez, afisa huyo wa polisi huku serikali ikitaja kisa hicho kuwa kitendo cha ugaidi.
Chanzo BBC SWAHILI.
Helikopta iliyotumika kushambulia mahakama yapatikana Venezuela
Reviewed by WANGOFIRA
on
21:49:00
Rating:
No comments: