Picha: RAIS MAGUFULI AONGOZA WATANZANIA KUAGA MWILI WA SAMWEL SITTA DAR

Mwili wa aliyekuwa spika wa bunge la Tanzania, Samuel Sitta umeagwa katika viwanja vya Karimjee na mamia ya watanzania wakiongozwa na Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais mama Samia Suluhu.


Wengine ni Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete, Dk. Gharib Bilal.Baada ya kuagwa Dar, mwili wake utapelekewa Dodoma kwa ajili ya wabunge kutoa saamu za mwisho kisha kupelekwa Urambo, Tabora.



Picha: RAIS MAGUFULI AONGOZA WATANZANIA KUAGA MWILI WA SAMWEL SITTA DAR Picha: RAIS MAGUFULI AONGOZA WATANZANIA KUAGA MWILI WA SAMWEL SITTA DAR Reviewed by WANGOFIRA on 02:22:00 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.