WAZAZI WALAZIMISHWA KUCHIMBA KABULI, WANANCHI WAKATAA KUZIKA MWILI WA MAREHEMU
Wakazi wa mtaa wa NAMANYINGU kata ya MSHANGANO Manispaa ya Songea
Mkoani RUVUMA, wamewalazimisha mume na mke kuchimba kaburi la mtoto wao aitwaye
DANROAD MAHUNDI mwenye umri wa miaka 36 ambaye inasemekana wazazi wake wamemuua
kwa njia za kishirikina.
WAZAZI WALAZIMISHWA KUCHIMBA KABULI, WANANCHI WAKATAA KUZIKA MWILI WA MAREHEMU
Reviewed by WANGOFIRA
on
19:40:00
Rating:
No comments: