Tigo yakanusha Manji kuimiliki kampuni hiyo
Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo imekanusha taarifa iliyotolea na gazeti la The Citizen toleo la Februari 22, 2017 kuwa mfanyabiashara Yusuf Manji anamiliki asilimia 99 ya kampuni hiyo.
Tigo imesema taarifa hiyo si sahihi kwa sababu shauri la umiliki wa hisa za kampuni hiyo bado lipo mahakamani.
Hapa chini ni taarifa iliyochapishwa kwenye gazeti hilo na taarifa kutoka Kampuni ya Tigo.
Tigo yakanusha Manji kuimiliki kampuni hiyo
Reviewed by WANGOFIRA
on
19:56:00
Rating:
No comments: