Waziri Mkuu Majaliwa na Spika Job Ndugai Wakutana kujadili maridhiano ya Vyama Vya Siasa


Ikiwa imesalia siku moja kabla ya mkutano wa nne wa bunge la kumi na moja kuanza hapo kesho September 6 2016 leo Waziri  Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na Spika wa bunge Job Ndugai pamoja na viongozi wengine katika ofisi za bunge zilizopo Dodoma kwa lengo la kufanya kikao cha maridhiano ya vyama vyote.

Hapa kuna picha tano  wakati wa majadiliano hayo yalipokuwa yakifanyika..



Waziri Mkuu Majaliwa na Spika Job Ndugai Wakutana kujadili maridhiano ya Vyama Vya Siasa Waziri Mkuu Majaliwa na Spika Job Ndugai Wakutana kujadili maridhiano ya Vyama Vya Siasa Reviewed by WANGOFIRA on 19:24:00 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.