MPYA:KUHUSU MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VYA AFYA,UALIMU,KILIMO,MIFUGO,UVUVI NK.CHETI NA DIPLOMA SECOND SELECTION 2016/2017

 
Hi,

Kutokana na NACTE kutangaza kwamba tarehe 5 sep wangetangaza majina ya wanafunzi ambao watakuwa wamechaguliwa kujiunga na vyuo mbalimbali awamu ya pili,hali haikuwa hivyo na kuamua WANGOFIRA BLOG kufuatilia swala hili.

Ukweli ni kwamba SELECTION ZIPO TAYARI ,UNAWEZA KU LOGIN KWENYE PROFILE YAKO NA KUANGALIA KAMA UMECHAGULIWA.Kama ikitokea hujachaguliwa tafadhali badilisha machaguo yako kabla ya sep 15 kwani system ipo wazi.

Maswayetu Blog tunakupenda sana. 

 Kulogin kwenye profile yako bonyeza hapo>>LOG IN NACTE
MPYA:KUHUSU MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VYA AFYA,UALIMU,KILIMO,MIFUGO,UVUVI NK.CHETI NA DIPLOMA SECOND SELECTION 2016/2017 MPYA:KUHUSU MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VYA AFYA,UALIMU,KILIMO,MIFUGO,UVUVI NK.CHETI NA DIPLOMA SECOND SELECTION 2016/2017 Reviewed by WANGOFIRA on 20:56:00 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.