Dhuluma za kingono zakiandama kituo cha Fox,Marekani
Kituo cha habari cha Fox cha nchini Marekani kimetuliza malalamiko ya unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya katibu mkuu wake Roger Ailes. Aliyechaguliwa waziwazi na Rupert Murdoch kuanzisha kituo cha habari cha kihafidhina na kuwa na mafanikio makubwa kwa kipindi cha takribani miaka ishirini.
Wanawake wengine zaidi wanalalamika kwa kutendewa vitendo sawa na hivyo. Bi Carlson anaonekana kukubali kuchukua dola milioni Ishirini kutoka kwa Fox, ambapo ilitaarifiwa kwamba zilitumika kuchunguza madai ya kuwatuliza wanawake wengine.
Dhuluma za kingono zakiandama kituo cha Fox,Marekani
Reviewed by WANGOFIRA
on
21:02:00
Rating:
No comments: