Biashara na uwekezaji wasisitizwa katika mkutano wa G20
Mkutano wa mwaka wa G20 unaojumuisha mataifa yenye uchumi mkubwa duniani umemalizika nchini China, ukiongozwa na Rais Xi Jinping, amesema wajumbe wa nchi wanatakiwa kuimarisha nguvu mbili za kibiashara na uwekezaji.
Mkuu wa IMF, Christine Lagarde, amesema viwango vya ukuaji uchumi duniani umekuwa ukishuka kwa muda mrefu na wajumbe wa G-20 watatumia kila njia kuukuza.
Na tamko la mwisho limekubaliana na mataifa kuongeza usaidizi wa ubinadamu na na misaada kwa wakimbizi.
BBC
Biashara na uwekezaji wasisitizwa katika mkutano wa G20
Reviewed by WANGOFIRA
on
22:15:00
Rating:
No comments: