UDSM, Waholanzi wabadilishana uzoefu
Dar es Salaam. Shule Kuu ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), inaendesha kongamano la kubadilishana uzoefu wa mafunzo kwa wanafunzi kutoka vyuo vikuu vya Uholanzi na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ili kukuza mawazo ya wanafunzi kujiajiri katika sekta ya viwanda.
Source: MwananchiRead More
UDSM, Waholanzi wabadilishana uzoefu
Reviewed by WANGOFIRA
on
20:23:00
Rating:
No comments: