Akamatwa kwa kupanda mnara wa makao makuu ya Trump Marekani
Mtu mmoja aliyejaribu kupanda mnara wa Trump uliopo jijini New York, ameondolewa na polisi katika jengo hilo baada ya kuchomwa na vioo vya jengo hilo lenye ghorofa hamsini na nane ambayo ni makao makuu ya kampeni za kumchagua Donald Trump.
Source: BBC SwahiliRead More
Akamatwa kwa kupanda mnara wa makao makuu ya Trump Marekani
Reviewed by WANGOFIRA
on
19:59:00
Rating:
No comments: