Watu 11 wafariki na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali ya magari 3 eneo la Veta Dakawa
Watu 11 wafariki na wengine kujeruhiwa katika ajali
iliyohusisha lori la mafuta na basi la Ota, Dakawa Morogoro leo alfajiri
Polisi yathibitisha.
Ajali hiyo iliyotokea wilaya ya KILOSA ikihusisha Bus la kampuni ya OTTA CLASSIC yenye namba DGK T.201 likitokea BUKOBA kuelekea D'SALAAM likigongana na loli la mafuta lililokuwa limepaki pembezoni mwa barabara.
Kuna abiria wamekufa ikiwajumuisha na madereva wote wawili na wasaidizi
wao pamoja na abiria wengine. Miili ya marehemu imekimbizwa na mingine
bado inapelekwa hospitali ya mkoa wa Morogoro kwa utambuzi na kwa
itifaki ila mahututi wengine wanapatiwa matibabu hapo hospitali ya ST
JOSEPH inayomiliikiwa na Kanisa la Roman Catholic.
Rai:Kama una ndugu unahisi au unafahamu alikuwa anasafiri basi fanya mawasiliano naye mapema
Watu 11 wafariki na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali ya magari 3 eneo la Veta Dakawa
Reviewed by WANGOFIRA
on
08:14:00
Rating:
No comments: