Taarifa kuhusu uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Iringa juu ya mauaji ya Daudi Mwangosi.
Mahakama
kuu kanda maalumu ya Iringa leo imesendelea na kesi ya mauaji ya
aliyekuwa mwandishi wa habari wa kituo cha cha Channel Ten mkoani
Iringa, Daud Mwangosi, inayomkabili askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia
(FFU) Pasificus Cleophace Simon mwenye namba G 2573
Hukumu
ya kesi hiyo awali ilipangwa kutolewa July 21 mwaka huu, iliahirishwa
hadi leo kutokana na jaji anayesikiliza kesi hiyo kuwa nje ya mkoa
kikazi.
Leo
July 25 2016 taarifa iliyoripotiwa na kituo cha ITV ni kwamba mahakama
kuu Iringa imemtia hatiani kwa kuua bila kukusudia askari huyo na hivyo
hukumu rasmi itatolewa siku ya jumatano.
Ulinzi wa polisi viwanja vya mahakama kuu kanda ya Iringa leo kabla ya mtuhumiwa wa mauwaji kufikishwa
Wananchi wakiwa foleni kukaguliwa kabla ya kuingia mahakamani leo
Mtuhumiwa wa mauwaji ya Mwangosi akipakiwa kwenye gari za FFU
Msafala wa gari za FFU zilizomsindikiz askari mwenzao anayekutwa na kosa la kuua bila kukusudia leo
Askari wa FFU wakitoka mbio mahakamani hapo
Wananchi na wanahabari wakitoka mahakamani hapo
wakili
kutoka mtandao wa watetezi wa haki za
binadamu ((THRDC)Benedict Ishabakaki akizungumza na wanahabari nje ya viwanja vya mahakamani leo
Askari hao wakimtoa mahakamani hapo leo mtuhumiwa wa mauwaji ya Mwangosi
Ulinzi wa polisi viwanja vya mahakama kuu kanda ya Iringa leo kabla ya mtuhumiwa wa mauwaji kufikishwa
Wananchi wakiwa foleni kukaguliwa kabla ya kuingia mahakamani leo
Mtuhumiwa wa mauwaji ya Mwangosi akipakiwa kwenye gari za FFU
Msafala wa gari za FFU zilizomsindikiz askari mwenzao anayekutwa na kosa la kuua bila kukusudia leo
Askari wa FFU wakitoka mbio mahakamani hapo
Wananchi na wanahabari wakitoka mahakamani hapo
wakili
kutoka mtandao wa watetezi wa haki za
binadamu ((THRDC)Benedict Ishabakaki akizungumza na wanahabari nje ya viwanja vya mahakamani leo
wakili
kutoka mtandao wa watetezi wa haki za
binadamu ((THRDC)Benedict Ishabakaki akizungumza na wanahabari nje ya viwanja vya mahakamani leo
Siku ambayo mwanahabari Daudi Mwangosi alipouwawa kutoka mtandao wa watetezi wa haki za
binadamu ((THRDC)Benedict Ishabakaki akizungumza na wanahabari nje ya viwanja vya mahakamani leo
Askari hao wakimtoa mahakamani hapo leo mtuhumiwa wa mauwaji ya Mwangosi
Taarifa kuhusu uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Iringa juu ya mauaji ya Daudi Mwangosi.
Reviewed by WANGOFIRA
on
20:09:00
Rating:
No comments: