Picha 8: Mwigizaji Jackline Wolper atangaza kuhama CHADEMA na kijiunga na CCM
Mwigizaji
wa filamu nchini Tanzania Jackline Wolper aliyekuwa akimuunga mkono
Edward Lowassa katika uchaguzi Mkuu 2015, ametangaza kujiunga na CCM
rasmi jana
Wolper alikaribishwa na mwenyekiti aliyemaliza muda wake Dkt Jakaya Kikwete baada ya kutangaza kujiunga na CCM.
Kitendo hicho kilifanyika katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliofanyika jana Julai 23, mkoani Dodoma.
Picha 8: Mwigizaji Jackline Wolper atangaza kuhama CHADEMA na kijiunga na CCM
Reviewed by WANGOFIRA
on
20:27:00
Rating:
No comments: