Mwingine Akamatwa kwa Kumtukana Rais JPM Kupitia "WhatsApp"
Sheria
ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi,ambapo mtu mwingine
ameingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais
kwenye mtandao wa WhatsApp.
Mtuhumiwa
huyo aliyefahamika kwa jina la Leonaard Mulokozi Kyaruzi ameshtakiwa
chini sheria ya uhalifu wa mtandaoni (Cybercrime act) ya mwaka 2015.
Huyu anakuwa ni mtu wa pili kushtakiwa baada ya wa kwanza kufikishwa mahakamani mkoani Arusha kwa kumtukana Rais Magufuli kwenye mtandao wa Facebook.
Huyu anakuwa ni mtu wa pili kushtakiwa baada ya wa kwanza kufikishwa mahakamani mkoani Arusha kwa kumtukana Rais Magufuli kwenye mtandao wa Facebook.
Kyaruzi ujumbe wake unasomeka hivi. "Hivi
huyu Pombe ni kwamba hana washauri? Hashauri? Au ni zuzu? Bwege sana
huyu jamaa, he doesn’t consider the law in place before opening his
mouth!. Au na yeye anaumwa ugonwja wa mnyika?”
Mwingine Akamatwa kwa Kumtukana Rais JPM Kupitia "WhatsApp"
Reviewed by WANGOFIRA
on
20:54:00
Rating:
No comments: