MKUU WA MKOA WA MWANZA AZINDUA SHEREHE ZA JUBILEE KANISA LA WAADVESTA WASABATO KIRUMBA
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza
Mh John Mongella,Juni 30,2016 amezindua Sherehe za Jubilee ya Miaka 50
ya injili jiji la Mwanza katika kanisa la Waadventista Wasabato Kirumba
Mwanza Tanzania.
Mkuu huyo katika hotuba yake, amelipongeza kanisa la Kirumba kuwa na
jubilee ya miaka 50 Lakini pia amelipongeza kwa huduma ya malezi ya
vijana wa kanisa hilo wakingali wadogo na kwamba kwa kufanya hivo ni
kuliandaa kanisa na Taifa kwa ujumla kuwa na viongozi waadilifu.
Mkuu huyo wa Mkoa pia ameyataka madhehebu ya dini yawe mstari wa mbele
katika kukemea maovu ili Taifa letu lidumu kuwa na Amani aidha amewasihi
waumini kuendelea kuliombea Taifa la Tanzania.
Miongoni mwa wageni waalikwa waliohudhuria Hafra hiyo ni, Wachungaji
wastaafu wa kanisa la Waadventista Wasabato, Familia asisi za kanisa la
Kirumba linalosheherekea miak,Mh Diwani wa Kata ya Kirumba Mwanza, Mh
Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa Kirumba Bondeni, waumini wa
kanisa,wananchi majirani katika eneo la Kirumba, watu mashuhuri , na
viongozi wa vyama vya siasa,ndugu jamaa na marafiki; Bila kumsahau Prof
na Mchungaji Leal Caesar kutoka Makao Makuu ya kanisa la Waadventista
Wasabato nchini Marekani.
Katika ziara hiyo Mh. Mkuu wa Mkoa alipata nafasi ya kutembelea mabanda
ya maonesho ya kazi za mikono,Ufunuo Publishing House, Banda la historia
na kumbukumbu za kanisa akiongozwa na mwenyeji wake mchungaji Sadoki
Butoke Askofu Mkuu wa Jimbo La Nyanza Kusini( South Nyanza
Conference)katika kanisa hilo, Pia alipata nafasi kuona shughuli za
huduma za afya ambazo zimeendelea kwa siku 5 mfululizo bure.Huduma ya
utoaji damu kwa kujitolea ilikuwa ikiendelea.
Imetaarifiwa kwamba, huduma hizo za afya zimehudumia watu wapatao 900
hadi mchana wa siku ya juni 30,mwaka huu.
Make Money Online : http://ow.ly/KNICZ
Make Money Online : http://ow.ly/KNICZ
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza
Mh John Mongella,Juni 30,2016 amezindua Sherehe za Jubilee ya Miaka 50
ya injili jiji la Mwanza katika kanisa la Waadventista Wasabato Kirumba
Mwanza Tanzania.
Mkuu huyo katika hotuba yake, amelipongeza kanisa la Kirumba kuwa na
jubilee ya miaka 50 Lakini pia amelipongeza kwa huduma ya malezi ya
vijana wa kanisa hilo wakingali wadogo na kwamba kwa kufanya hivo ni
kuliandaa kanisa na Taifa kwa ujumla kuwa na viongozi waadilifu.
Mkuu huyo wa Mkoa pia ameyataka madhehebu ya dini yawe mstari wa mbele
katika kukemea maovu ili Taifa letu lidumu kuwa na Amani aidha amewasihi
waumini kuendelea kuliombea Taifa la Tanzania.
Miongoni mwa wageni waalikwa waliohudhuria Hafra hiyo ni, Wachungaji
wastaafu wa kanisa la Waadventista Wasabato, Familia asisi za kanisa la
Kirumba linalosheherekea miak,Mh Diwani wa Kata ya Kirumba Mwanza, Mh
Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa Kirumba Bondeni, waumini wa
kanisa,wananchi majirani katika eneo la Kirumba, watu mashuhuri , na
viongozi wa vyama vya siasa,ndugu jamaa na marafiki; Bila kumsahau Prof
na Mchungaji Leal Caesar kutoka Makao Makuu ya kanisa la Waadventista
Wasabato nchini Marekani.
Katika ziara hiyo Mh. Mkuu wa Mkoa alipata nafasi ya kutembelea mabanda
ya maonesho ya kazi za mikono,Ufunuo Publishing House, Banda la historia
na kumbukumbu za kanisa akiongozwa na mwenyeji wake mchungaji Sadoki
Butoke Askofu Mkuu wa Jimbo La Nyanza Kusini( South Nyanza
Conference)katika kanisa hilo, Pia alipata nafasi kuona shughuli za
huduma za afya ambazo zimeendelea kwa siku 5 mfululizo bure.Huduma ya
utoaji damu kwa kujitolea ilikuwa ikiendelea.
Imetaarifiwa kwamba, huduma hizo za afya zimehudumia watu wapatao 900
hadi mchana wa siku ya juni 30,mwaka huu.
Make Money Online : http://ow.ly/KNICZ
Make Money Online : http://ow.ly/KNICZ
MKUU WA MKOA WA MWANZA AZINDUA SHEREHE ZA JUBILEE KANISA LA WAADVESTA WASABATO KIRUMBA
Reviewed by WANGOFIRA
on
23:54:00
Rating:
No comments: