Misri:6 wahukumiwa kifo, wapo waandishi 2 wa Aljazeera
Mahakama ya nchini Misri, imetoa hukumu ya kifo kwa watu sita wakiwemo waandishi wawili wa Al Jazeera kwa kudaiwa kufanya ushushushu.
Sita hao akiwemo rais wa zamani, Mohammed Morsy na wasaidizi wake walishtakiwa kwa kuvujisha siri za ikulu kwa Qatar. Hukumu hiyo ilitolewa Jumamosi iliyopita huku ikiungwa mkono na viongozi wa kidini. Waandishi hao walihukumiwa bila kuwepo mahakamani.
Misri:6 wahukumiwa kifo, wapo waandishi 2 wa Aljazeera
Reviewed by WANGOFIRA
on
20:49:00
Rating:
No comments: