JWTZ Yakanusha Taarifa za Kuibwa kwa Kifaru


Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ)  limekanusha taarifa za kuibiwa kwa kifaru  cha jeshi zilizoripotiwa leo na gazeti la Dira  na kusema kuwa taarifa hizo hazina ukweli wowowte huku  likisisitiza ulinzi katika maeneo ya jeshi uko imara.

Akiongea na  waandishi wa habari leo  kukanusha habari hizo, msemaji wa jeshi hilo, Kanali Ngemela Lubinga amesema jeshi limesikitishwa sana na habari hizo za upotoshaji kwa kuwa zinachafua taswira ya jeshi na taifa kwa ujumla.
 
Amelitaka Gazeti la Dira kuomba radhi mara moja na wakishindwa kufanya hivyo hatua Kali na za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yao 

TAZAMA HAPA VIDEO BOFYA HAPA KUIONA
JWTZ Yakanusha Taarifa za Kuibwa kwa Kifaru JWTZ Yakanusha Taarifa za Kuibwa kwa Kifaru Reviewed by WANGOFIRA on 20:25:00 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.