Gazeti la The Post lafungwa Zambia
Gazeti kubwa zaidi la kibinafsi nchini Zambia la The Post, limefungwa kutokana na kutolipwa kwa kodi.
Polisi na maafisa wa kukusanya kodi walifunga ofisi za gazeti hilo katika mji mku Lusaka, baada ya kudai dola milioni 6.1 za kodi ambayo haijalipwa.
Gazeti hilo linasema kuwa lilifungwa licha ya kulipa kodi yote
Gazeti la The Post lafungwa Zambia
Reviewed by WANGOFIRA
on
07:05:00
Rating:
No comments: