Mamlaka ya Mapato (TRA) Yataifisha Sukari ya Magendo Mifuko 5319 na Kugawa Bure Kwa Wananchi

 
Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imegawa Sukari yote ya Magendo Mifuko 5319 yenye thamani ya Zaidi ya Shilingi Million 373.5 kwa Taasisi mbali mbali Mkoani Lindi baada ya kuthibitishwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa TFDA kuwa ni Salama kwa matumizi. 


Sukari hiyo ilikamatwa mwezi Februari mwaka huu katika bandari ya Lindi ndani ya meli ya MV Hassanat ikiingizwa kinyume cha Sheria ikitokea nchini Brazil kupitia Zanzibar. 


Sukari hiyo ilipaswa kulipiwa Kodi zaidi ya shilingi Million 246.
Mamlaka ya Mapato (TRA) Yataifisha Sukari ya Magendo Mifuko 5319 na Kugawa Bure Kwa Wananchi Mamlaka ya Mapato (TRA) Yataifisha Sukari ya Magendo Mifuko 5319 na Kugawa Bure Kwa Wananchi Reviewed by WANGOFIRA on 19:45:00 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.