Mamia wajitokeza kuaga mwili wa Mwanahabari Makongoro Oging’, kuzikwa Mara
Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers alikokuwa akifanyia kazi
Makongoro Oging’, Eric Shigongo ameongoza mamia katika kutoa heshima za
mwisho kwa marehemu Makongoro wakati wa kuagwa katika Hospitali ya Rufaa
ya Mkoa wa Ilala ya Amana Dar es Salaam mchana wa leo.
Picha ya Mwanahabari Makongoro Oging’ enzi za uwai wake.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers alikokuwa akifanyia kazi
Makongoro Oging’, Eric Shigongo akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza
lenye lenye mwili wa marehemu Oging’ wakati wa kuagwa katika Hospitali
ya Rufaa ya Mkoa wa Ilala ya Amana Dar es Salaam mchana wa leo.
Mmiliki wa Blog ya Michuzi, Issa Michuzi akitoa heshima za kwa mwili wa marehemu.
Mhariri wa Habari wa Gazeti la Champion, Salehe Ali akitoa heshima za mwisho kwa marehemu.
Waombolezaji wakiwa na huzuni wakati wa kuaga mwili wa mpendwa wao Makongoro.
Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha ITV. Samu Mahela akitoa heshima za mwisho.
Mwenyekiti
wa Jukwaa la Wahariri wa Habari Tanzania (TEF), Absalom Kibanda akiwa
kwenye shughuli hiyo ya kumuaga Makongoro Oging’
Ndugu yake na Makongoro Oging’ akilia wakati wa kumuaga mpendwa wake Makongoro.
Ndugu jamaa na marafiki wakiwa kwenye uagaji wa mpendwa wao.
Uagaji ukiendelea.
Mtoto wa marehemu akimuaga baba yake ‘hakika ni huzuni kubwa’
Majane wa marehemu akiwa hajiwezi baada ya kumuaga mume wake.
Mhariri
wa habari wa gazeti la jambo leo alilokuwa akiandia marehemu Oging’
Elvan Stambuli akilia kwa uchungu wakati wa kumuaga Makongoro.
Baba mlezi wa Makongoro Oging ambaye alimsomesha, akizungumza na wanahabari.
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Makongoro kulipeleka kwenye gari kabla ya kuanza kwa safari ya kwenda mkoani Mara. |
Jeneza likiingizwa kwenye gari tayari kwa safari.
Mamia wajitokeza kuaga mwili wa Mwanahabari Makongoro Oging’, kuzikwa Mara
Reviewed by WANGOFIRA
on
20:56:00
Rating: