skip to main |
skip to sidebar
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu (pichani) amewasimamisha kazi kupisha uchunguzi kwa watendaji Wakuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa ubadhirifu wa fedha za mfuko huo kwa Mkoa wa Mara
VIGOGO BIMA YA AFYA WATUMBULIWA.
Reviewed by
WANGOFIRA
on
20:32:00
Rating:
5
No comments: