JPM ATEMA CHECHE KWA WANAOLALAMIKA ATENDI HAKI KUWATUMBUA WATUMISHI.
Rais Magufuli leo amekutana na Viongozi wa CCM ngazi za Mikoa na Wilaya kwa lengo la kuwashukuru kwa kazi nzuri walizofanya wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka jana.
"Wapo Wanaodai Tunakiuka haki za Binadamu Kuwatangaza Wanaotumbuliwa.....Wao walikuwa Wanafanya sawa Kuwaibia Hadharani Watanzania? " Amehoji Rais Magufuli.
==> Zaidi Tazama Video hapa Rais Magufuli Akizungumza
Je,
JPM ATEMA CHECHE KWA WANAOLALAMIKA ATENDI HAKI KUWATUMBUA WATUMISHI.
Reviewed by WANGOFIRA
on
20:39:00
Rating:
No comments: