Zitto Ajiuzulu kwenye Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii kwa Tuhuma za Rushwa
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, ameishtumu Kamati ya Huduma za Jamii anayohudumu kuwa kuna baadhi ya Wajumbe wammepokea rushwa.Kutokana na shtuma hizo ameamua kumuandikia spika barua ya kujiuzulu na kumtaka achunguze na kuchukua hatua.
Zitto Ajiuzulu kwenye Kamati ya Huduma na Maendeleo ya Jamii kwa Tuhuma za Rushwa
Reviewed by WANGOFIRA
on
12:23:00
Rating:
No comments: