USHAURI MUHIMU KWA WANAFUNZI WOTE WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE 2015 KUHUSU KOZI MBALIMBALI AMBAZO ZINAWAFAA KULINGANGA NA MATOKEO WALIOYOPATA NA JINSI YA KUOMBA 2016/2017

 
Habari zenu,
Kwanza kabisa kama kichwa kijielezavyo hapo juu ,leo nimemaua kuzungumizia kuhusu wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka 2015 na wanatarajia kujiunga na vyuo mbalimbali kwa masomo mbalimbali mwaka wa masomo 2016/2017.

Nitazungumzia mada hii muhimu kwa kugusa maeneo yafuatayo,
1.SEKTA YA AFYA
2.SEKTA YA KILIMO NA MIFUGO
3.SEKTA YA  ELIMU
4.SEKTA YA ENGINEERING
5.SEKTA YA SHERIA NA BIASHARA
1.KOZI ZA AFYA
Afya ni moja kati ya sekta zinazoajiri kwa wingi sana vijana wengi kutokana na kutokuwepo kwa watalam wa kutosha kufiti nafasi hii adimu ya kuhudumia watu.
katika sekta hii inajumuisha kozi zifuatazo,
-nursing
-medicine
-pharmacy
-laboratory
Kutokana na ufaulu wa matokeo ya kidato cha nne ,Taasisi muhimu inayojishughulisha na udahili wa wanafunzi katika ngazi hii ya cheti na diploma wametoa sifa ambazo zitakufanya na kukuongoza katika kufanya maamuzi yako.
Ili uweze kudahiliwa(kuchaguliwa ktk chuo chochote cha afya tanzania ktk ngazi ya diploma na cheti kwa kozi tajwa hapo juu inabidi uwe umesoma masomo yafuatayo;
-physics
-chemistry
-biology
Masomo tajwa hapo juu ni lazima uyasome kama unataka kujiunga na kozi za afya.Pili inabidi uwe umefaulu kwa viwango vifuatavyo,
Kama una -physics-D,-chemistry-D,-biology-D(una sifa za kujiunga na cheti)
Kama una -physics-D,-chemistry-C,-biology-C(una sifa za kujiunga na Diploma)
 Kutokana na vigezo tajwa hapo juu unaweza kuomba chuo chochote kile tanzania na nakuhakikishia 100% utachaguliwa kujiunga.
NOTE:KAMA HAUNA VIGEZO TAJWA HAPO JUU USIJISUMBUE KWANI HUTACHAGULIWA.
DEADLINE NI TAR 31 MARCH 2016 

JINSI YA KUFANYA APPLICATION



ORODHA YA VYUO VYA AFYA  UNAVYOTAKIWA KUOMBA 



S/NInstituteProgrammeNTA LevelEnrolment CapacityTOTAL
MaleFemale
1Primary Health Care Institute - IringaDiploma in NursingLevel 4-6301545
2Mwambani School of Nursing - ChunyaDiploma in NursingLevel 4-6402060
3New Mafinga Health and allied Institute- MafingaDiploma in NursingLevel 4-6252550
Certificate in Community Health Level 4353570
4St. Aggrey College of Health Science- MbeyaCertificate in Nursing and MidwiferyLevel 4-5252550
5Bulongwa Health Science Institute- MaketeDiploma in Nursing and MidwiferyLevel 4-6203050
Certificate in Community HealthLevel 4202040
7Lugarawa School of Nursing- LudewaCertificate in Medical Laboratory ScienceLevel 4-5301040
8Mbalizi Institute of Health Sciences - MbeyaCertificate in Community HealthLevel 4252550
9Yohana Wavenza Health Institute- MboziDiploma in NursingLevel 4-6302050
10St. Bakhita College of  Health - NkasiCertificate in Nursing and MidwiferyLevel 4-5252550
11MkomaindoCertificate in Community HealthLevel 4404080
12Huruma School of NursingDiploma in Nursing and MidwiferyLevel - 4-6252550
13Hydom School of NursingDiploma in NursingLevel - 4-6103040
14Same School of NursingCertificate in Nursing and MidwiferyLevel - 4-5203050
15St. Augustin Institute of Health Sciences (CHW)HospitalLevel 440 4080
school                  5050100
Elijerry centre5050100
16Archibishop John Ramadhani School of NursingCertificate in Nursing and MidwiferyLevel 4 -5252550
17Kilema College of Health SciencesCertificate in Medical laboratoryLevel 4 -5252550
18Spring Institute of Business and SciencesDiploma in Pharmaceutical ScienceLevel 4- 5202040
19Nicodemus Hhando School of Health SciencesCertificate in Medical laboratoryLevel 4 -5252550
21Besha Health Training InstituteCertificate in Medical laboratoryLevel 4-5252550
Certificate in Community HealthLevel 4252550
22Bumbuli (SEKOMU)Certificate in Clinical MedicineLevel 4-5

45
Diploma in Clinical MedicineLevel 4-6

90
Certificate in Community HealthLevel 4252550
23TandabuiCertificate in Community HealthLevel 4252550
24Sengerema COTCCertificate in Medical laboratoryLevel 4-5351550
25MwasendaCertificate in Medical laboratoryLevel 4-5252550
26RoyonaCertificate in Medical laboratoryLevel 4-5304070
27Bukumbi NursingCertificate in Nursing and midwifeLevel 4-5252550
28Kagemu EHSCertificate in Environmental Health ScienceLevel 4-5101020
Diploma in Environmental Health ScienceLevel 4-6151530
29KolandotoCertificate in NursingLevel 4-5303060
Certificate in Community HealthLevel 4303030
30Mikocheni School of Nursing Diploma in NursingLevel 4-6202040
Certificate  in NursingLevel 4-5202040
31KulagwaCertificate in Community HealthLevel 5404080
32DECCA College of Health and Allied SciencesDiploma in Medical LaboratoryLevel 4-66040100
Diploma in NursingLevel 4-65050100
33Mvumi Institute of Health SciencesCertificate in Nursing and MidwiferyLevel 4-5101525
Diploma in Nursing and MidwiferyLevel 4-6203050
Certificate in Medical Laboratory ScienceLevel 4-5403070
Certificate in Community HealthLevel 4203050
34Tabora InstituteDiploma in Clinical MedicineLevel 4-65050100
Certificate in Community HealthLevel 45050100
35KilimatindeCertificate in Nursing and MidwiferyLevel 4-5404080
36Nkinga Institute of Health SciencesCertificate in NursingLevel 4-5102030
Diploma in NursingLevel 6202040
Certificate in Medical Laboratory ScienceLevel 4-6151530
37Iambi School of NursingCertificate in Nursing and Midwiferylevel 4-5302050
38St. Johns UniversityDiploma in NursingLevel 4-67575150
39Rukwa College of Health SciencesCertificate in Community HealthLevel 4252550
40Massana College of 
 Nursing
Technician Certificate in NursingLevel 4 - 5202040
Ordinary Diploma in Nursing



USHAURI MUHIMU KWA WANAFUNZI WOTE WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE 2015 KUHUSU KOZI MBALIMBALI AMBAZO ZINAWAFAA KULINGANGA NA MATOKEO WALIOYOPATA NA JINSI YA KUOMBA 2016/2017  USHAURI MUHIMU KWA WANAFUNZI WOTE WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE 2015 KUHUSU KOZI MBALIMBALI AMBAZO ZINAWAFAA KULINGANGA NA MATOKEO WALIOYOPATA NA JINSI YA KUOMBA 2016/2017 Reviewed by WANGOFIRA on 21:51:00 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.