BREAKING NEWS; BALOZI OMBENI SEFUE AONDOLEWA UKATIBU MKUU KIONGOZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli amemteua Balozi mhandisi John William Kizaji kuwa Katibu mkuu kiongozi.
Kabla ya uteuzi huo mhandisi Kijazi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini India.
Uteuzi huu unaanza mara moja.
Kufuatia uteuzi huo, aliyekuwa katibu mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue atapangiwa kazi nyingine.
Geyson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, Ikulu
Dar es salaam
06 machi, 2016
source; michuzi blog
source; michuzi blog
BREAKING NEWS; BALOZI OMBENI SEFUE AONDOLEWA UKATIBU MKUU KIONGOZI
Reviewed by WANGOFIRA
on
05:50:00
Rating:
No comments: