MABALOZI WA NCHI MBALIMBALI WAFANYA SHEREHE IKULU.
WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI, KIKANDA NA KIMATAIFA, MHE. DKT. AUGUSTINE MAHIGA AMWAKILISHA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KUWAANDALIA MABALOZI MCHAPALO WA MWAKA MPYA (SHERRY PARTY) IKULU JIJINI DAR ES SALAAM FEBRUARY 8,2016
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akihutubia wakati akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli katika Mchapalo wa Mwaka Mpya kwa Mabalozi na Wawakilishi wa Taasisi mbalimbali za Kimtaifa maarufu kama “Sherry Party” Ikulu jijini Dar es salaam February 8, 2016
Mabalozi na Wawakilishi wa Taasisi mbalimbali za Kimtaifa wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akihutubia wakati akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli katika Mchapalo wa Mwaka Mpya maarufu kama “Sherry Party” Ikulu jijini Dar es salaam February 8, 2016
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga katika picha ya pamoja na Mabalozi na Wawakilishi wa Taasisi mbalimbali za Kimtaifa baada ya Mchapalo wa Mwaka Mpya maarufu kama “Sherry Party” Ikulu jijini Dar es salaam February 8, 2016
(picha zote kwa hisani ya ikulu.)
MABALOZI WA NCHI MBALIMBALI WAFANYA SHEREHE IKULU.
Reviewed by WANGOFIRA
on
07:26:00
Rating:
No comments: